Habari wapendwa ambao mnatufatilia live kupitia yotube na blog yetu leo tunatangazo kutoka AZAN GROUP Wametangaza nafasi za kazi kwa watanzania wote popote walipo wanahitaji wafanyakazi 200 hili ni ongezeko la wafanyakazi katika kiwanda hicho ambacho huzalisha bidhaa mbalimbali hapa nchin tanzani watu ambao wanahitajika ni
1. wabeba mizigo
2. wapishi , katika kiwanda hicho ambao watakuwa wakiwapikia wafanya kazi katika kiwanda hicho
3. manger
4. mashine control
5. walinzi
6. madeleva
kwa maelezo zaidi piga sim nammba +255222270588
wahi mapema maana nafasi ni chache pia kama unamaaoni comment tutakusaidia kama unatangazo lako tafadhali wasiliana nasi kupitia facebook na youtube channel yetu